Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akivishwa skafu na kijana wa Chipukizi muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mtwara tayari kuongoza Maadhimisho ya Sherehe za Mashujaa zinazofanyika Naliendele Mkoani Mtwara
Baadhi ya wakazi wa mji wa Mtwara wakimsalimia kwa shauku Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mtwara tayari kuongoza Maadhimisho ya Sherehe za Mashujaa zinazofanyika Naliendele Mkoani Mtwara.(picha na Freddy Maro).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...