Sehemu ya Savannah Lounge, kiota kipya cha maraha ndani ya Quality Centre barabara ya Nyerere (zamani Pugu) road jijini Dar es salaam. Kiota hiki chenye nafasi nene ndani na parking ya kutosha na usalama wa uhakika kwa nje tayari ndilo gumzo la sasa miongoni mwa wapenda mitoko iliyoenda shule. Kwa mujibu wa meneja wake hivi sasa programu kibao zinaandaliwa baada ya kufunguliwa rasmi Jumamosi ilopita
Quality Centre usiku

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 05, 2011

    Kaka Michuzi ni nani mmiliki wa hiyo Quality Center? ni group moja na Quality group?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...