Viongozi wa Tanzania Media Fund (TMF) wakifuatilia kwa umakini bajeti ya wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika wakati waziri wa wizara hiyo Jummanne Maghembe(hayupo pichani) alipokuwa akiisoma leo bungeni mjini Dodoma. TMF kupitia mpango wao wa fellowship kwa mwaka huu imefadhili waandishi wa habari watano kwa ajili ya kuandika habari za uchunguzi kuhusu masuala ya kilimo vijijini kwa kipindi cha miezi sita.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 26, 2011

    Hongereni sana tmf kutukomboa waandishi wa habari, ujio wenu umetoa sura mpya ya uwajibikaji katika utoaji wa fedha na uandishi wa habari.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 26, 2011

    dodoma aaaah dodoma yawanatanzaniaaaa rest in peace Dr.remmy

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...