Baadhi ya wanawake na wasichana wa shule za Sekondari, wa Wilaya ya Mvomero wakisarebuka wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru ya kimkoa , Julai Mosi mwaka huu na kilele ni Julai saba, mwaka huu.
Maofisa wa Jwtz, pamoja na wananchi wengine wa Mkoa wa Morogoro, akiangalia uliozalishwa wa zao la mpunga kwa kutumia zana za kisasa ili kufikia lengo la kuwa ghala la taifa la chakula. Picha na John Nditi, Globu ya Jamii, Mvomero


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...