Promota Muddy Bawazir akiwa na mabondia Mbwana Matumla (shoto) na Francis Miyeyusho
KAMPUNI YA DARWORLD LINKS LTD AMBAYO NDIO WAANDAAJI WA PAMBANO LA NGUMI LA AINA YAKE LA UBINGWA WA UBO INTER CONTINENTAL BANTAM WEIGHT KATI YA MBWANA MATUMLA NA FRANCIS MIYEYUSHO,WANAPENDA KUYAOMBA MAKAMPUNI, MASHIRIKA NA TAASISI ZOTE ZA KISERIKALI NA BINAFSI KUDHAMINI PAMBANO HILI LINALOTARAJIWA KUFANYIKA DIAMOND JUBILEE HALL JIJINI DAR TAREHE 30 OCT 2011.

SISI KAMA WAANDAAJI KWA KUTAMBUA JINSI MCHEZO WA NGUMI ULIVYO NA HAMASA KUBWA KWA SASA TUKAAMUA KUANDAA PAMBANO HILI BORA KABISA NA TUNAAHIDI KULETA MAPINDUZI MAKUBWA SANA KATIKA TASNIA HII YA MASUMBWI TANZANIA KWA KUANDAA KATIKA UKUMBI ULIO BORA NA MAZINGIRA YOTE PAMOJA NA MAANDALIZI YA KIMATAIFA KAMA INAVYOKUWA KATIKA MAPAMBANO YA KIMATAIFA TUNAYOYAONA KUPITIA LUNINGA ZETU.

YOTE HAYA HAYATAFANIKIWA BILA KUPATA SAPOTI YA MAKAMPUNI YETU ILI TUENDELEZE MCHEZO HUU WA NGUMI KAMA MICHEZO MINGINE.
AHSANTENI SANA.

                 MODDY BAWAZIR
        MKURUGENZI DARWORLD LINKS LTD
                    0715 666686.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 27, 2011

    sielewi... hawa si wamesha sign mkataba? Kama hela haitapatikana watapigana bure. Mimi nataka kudhani ila naomba kaka michuzi tuwekee mkataba wali sign kwanza.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...