Wanafunzi wa kike katika shule ya msingi Manda wilaya ya Ludewa ambao wanasubiri kufanya mtihani wa Taifa wa Darasa la saba wakitoka kuokota kuni porini mida ya masomo baada ya kufukuzwa kwa kushindwa kulipa mchango wa shilingi 600 ili wapate kufanya mitihani ya kujipima ya kata mzigo wa kuni kama huu wamekuwa wakiuuza kwa kiasi cha shilingi 100.
Mwanamke mkazi wa kijiji cha Iwela wilaya ya Ludewa Bi.Anna Nkwera akitoka kutafuta maji katika mabonde umbali wa kilomita 5 kutoka nyumbani kwake huku akiwa amebeba mtoto mkononi,sehemu kubwa wanawake wa vijijini wamekuwa na majukumu zaidi ya kazi katika familia huku wanaume wakiishia kushinda katika vijiwe vya pombe(picha na Francis Godwin)
What a shame to our country! Yaani mtu anashindwa kulipa ada ya sh 600/= hadi anafukuzwa shule? halafu tunaambiwa kuna viongozi wa serikali wanalipana sh laki mbili na zaidi kama sitting allowance. halafu wananchi bado tunaendelea kuwapa madaraka watu haohao. Tafakarini ndugu zangu watanznia. Huko tuendako tutakuja kujutia maamuzi yetu.
ReplyDeleteKaka,
ReplyDeleteHao wanafunzi jumla wako wangapi, yaani nataka kujua jumla wanadaiwa shilingi ngapi nione uwezekano wa kuwalipia?
Vp nchi yetu inaelekea wapi? Mbona sielewi mambo yanavyoenda jamani!
ReplyDeleteNarudia tena Nchi yetu inaelekea wapi wajameni? Kwann hizo pesa za posho kwa wabunge zisitumike kuwalipia hawa watoto ada yao ya shule!
Serikali Hamuoni hili mnakaa kizembezembe tu! Pumbavu zetu ! Hawawatoto wanatakiwa wawe shuleni wanasoma ! Pumbavu walimu wakuu na viongozi wetu. pumbavu mara 7
SHAME ON YOU ALL THE SO CALLED VIONGOZI WA SERIKALI. Shame, shame,shame hata kwa hao majibaba waiojua wajibu wao ni nini hwen it comes to raise a family kwa kuwatupia mzigo kina mama.
ReplyDeleteMBUNGE WA LUDEWA UPO WAPIIIIIIIIIIIIIIIIIIII?????? SHAME.
ReplyDeleteSISHANGAI MBUNGE WAO WA WILAYA YA LUDEWA KUSUTWA LEO BUNGENI (REF:PICHA HAPO JUU - KTK BLOG HII): SURELY, KUNA SERIOUS ISSUES LUDEWA. NI KAMA YUPO 'OUT OF TOUCH'.
ReplyDeleteNilikuwa na maoni exactly kama yenu. Inauma sana unapoona watoto wadogo wanavyoteseka lakini Serikali yetu haijali. Waliwahi kusema watoto wasifukuzwe madarasani kwa jambo lolote la kuhusiana na hela lakini hakuna kinachoendelea. Hivi viongozi wetu hawana watoto ? Ningependa kujua kama mtoa hoja wa pili kujua kama viongozi wetu watashindwa kufanya lolote basi tujulishwe ni kiasi gani tunaweza kuwasaidia hawa watoto ambao wanaendelea kuteseka badala ya kujiandaa na mitihani.
ReplyDeleteWatani wangu wa manda ludewa mko wapi kazi kukoga,kuvaa masuti kuchangiana miharusi na kunyweshana mipombe tu nendeni mkawachangie hao watoto wasome.
ReplyDeletemdau wa mwanzo ingawa nakubaliana nawe lakini umekosea kidogo, kwani hiyo sio ada bali ni malipo ya chakula cha walimu watakaokuja kusimamia mitihani yao. Hili ni tatizo sugu, badala ya serikali kushindwa kuwalipa walimu posho ya kufika hapo shuleni, wanafunzi ndio wanalazimishwa kulipa. suali ni jee wakati serikali ikiwalipa huko mbeleni na wao watawarudishia pesa wale waliolipa.
ReplyDeleteVyovyote vile hii ni aibu kubwa mno!!!
Sh 600 hata nusu ya dola 1 haijafikia. yani ni kama cent 40. or 0.40$ Mtanzania wa karne ya 21 anashindwa kuilipa na kufukuzwa shule. no comment.
ReplyDeleteShilling 600 ni kama 35p sterling
ReplyDeleteYaani hao watoto kumi hivi kwenye picha wahitaji £5 sterling.
And I cant help them.I feel sick
tupatie mawasiliano ya hao watoto wanaodaiwa na idadi yao hata kama kuna wengine zaidi ya hao nipo tayari kusaidia serikali kuwalipia watoto wote wanaodaiwa mashuleni
ReplyDeleteshame on serikali yetu inayopokea mabilioni ya misaada kila siku
kila goti litapigwa siku hiyo ikifika kilio chetu mungu anakiona malipo hapahapa duniani hao mafisadi wataishia kujinyonga wengine kufia magest
mdau mwenye machungu.
WADAU HAPO JUU: NAOMBA TUELEWE TU KUWA SUALA SI KIASI KIDOGO TU KAMA HICHO CHA PESA NA SENTI NGAPI UKILINGANISHA NA PESA ZA KIGENIILA NI PRINCIPLE. NA NDIO MAANA NIKAULIZA MBUNGE WALIOMTEUA KWA SHANGWE (MAJORITY) YUPO WAPI? LAKINI INAONYESHA KUWA HATA MBUNGE MWENYEWE HAYUPO CONNECTED NA KHALI HALISI YA JIMBO LAKE. HIVYO KAMA MBUNGE WA LUDEWA ANGEWEZA KUFUATILIA HILO NA KUWAWAJIBISHA WALIOFANYA WANAFUNZI HAO WAZUILIWE MITIHANI INGEKUWA MFANO MZURI. NA JE, SINA UHAKIKA KAMA SERIKALI ILITANGAZA KUWA SUALA KAMA HILO HALITOTOKEA UNDER IT'S WATCH, JE, IMEKUWAJE?
ReplyDeleteDO WE REALLY HAVE A GOVERNMENT? Serious question.
ReplyDeleteKama commenter number 1 alivosema, watu wanapewa ya laki mbili, meanwhile tuna watu wanaoishi hivi. I think we need to look at how much our leaders are being paid. How about you get paid based on performance? Mishara mikubwa,private vehicles,houses,and for what? Sisemi kuwa viongozi wetu wasiruhusiwe kuwa na maisha ya kifahari. Ninachotaka kuona ni maendeleo. Tunahitaji watu wenye uchungu wa nchi, na si watu wanaotaka madaraka. Kuna wanaopenda madaraka lakini si majukumu, na viongozi wetu ndivo walivyo. Plain and simple. JK aneenda kufungua mahoteli ya kifahari huko Serengeti Kempinski, does that make any sense? Nyerere ungeweza kumuona anaenda kukata utepe kufungua hoteli Serengeti? Nyerere alikataza kuharibu mbuga zetu. Leo hii JK anajenga barabara kupita Serengeti. Serengeti is a UNSECO world heritage site.
mimi nimemuonea huruma huyo mama hapo daa maisha mateso sana sehemu nyingine za nchi yetu. Hiyo ya kubeba kuni na kufanya kazi kwa walimu daa hiyo tumefanya sana wengine enzi zetu da lakini baadhi yetu tumetoboa. Nashukuru mungu na tuendelee kumuomba Mola siku za baadae haya mambo yaishe
ReplyDeleteJe huyu mama mwenye kubebeshwa ndoo na mtoto tunasemaje?! Kwanini wanaume ambao ndio wenye nguvu wakae nyumbani badala ya kutengeneza toroli wakawasaidia wake zao kwenda 'kusaka' maji?! Si hivyo tu, huko alikoenda kuchota maji yaelekea kisima kilikauka kwani hao watoto wengine wamerudi na ndoo kavu; na akifika nyumbani anategemewa kupika na kupakua na watu wale ...What is going on Tanzania?!!!! Kweli machozi yananitoka, especially ninaposikia wabunge wetu wanapodai kuongezewa posho... for doing what?!
ReplyDeleteTerry
OOOh my poor country Tanzania
ReplyDeleteNatamani kulia machozi nikimwangalia huyo mama hapo juu hali duni alionayo.Mbunge wao ni juzi tu nlimwona akipigia watoto hao hapo juu magoti leo tena anasutwa nje ya ukumbi hii inaonyesha mbunge huyu hawajali kabisa wapiga kura zake,hata kisima cha maji ameshindwa kuchimba,wanafunzi wanaacha masomo kwenda kuokota kuni ndipo wasome.
Nchi hii inaelekea wapi-ujinga umaskini maradhi ndio yanazidi.
Nchi hii ni tajiri mno ubinafsi wa watu wachache ndio uliotufikisha hapa.
You ask where the men are, for not helping wakina mama.
ReplyDeleteI will tell you what
They have gone for pombe to drown their miseries
When you feel so bad and powerless, sometimes you go for a drink to console your soul
Umeona sasa ndio maana mbunge wao anasutwa,hana lolote
ReplyDeleteyaani mie nahisi wilaya imekosa kabisa mbunge
When you feel bad and powerless, the answer is to drown your sorrows and let your family suffer? NO. If akina mama wangekuwa wanafanya hivyo si kijiji chote kingekuwa kimwekwishaa.
ReplyDeleteWhen life gives you lemons, make lemonade. Mpaka vitoto vidogo vinaenda kuchota maji na mama wakati baba kaenda kunywa. that doesn't make any sense! Baba angekuwepo kumsaidia mama, kugawana majukumu, angalau ugumu wa maisha ungepungua. Instead, baba gives up na mama hata siku moja hawezi acha familia ishinde njaa. And this is our weakness as women. Ukipata partner mbaya asiyekuwa na ushirikiano hata siku moja hautaweza kuondokana na umasikini.