Home
Unlabelled
ankal apigwa babekyuu la nguvu na wadau wa baltimore, maryland
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
ankal ndizi unakiwa umenye imanikwe sio ya mpunga maana umeshaitia kwapani kwa mwelekeo wa mpunga ahaaaa ahaaa,bwegenaz
ReplyDeleteSasa auncle mbona wewe ndo umeharibu pozi apo haupo katika pozi la babakyuu? Ilitakiwa na wewe uwe ndani ya mpensi na msingi-lend wa kutosha tu. Any way hope babakyu seshen ilikuwa mzuka.
ReplyDeleteJe, unajua utomvu wa ndizi mbichi ukiingia kwenye nguo hautoki? Au ile ilikuwa zamani.
ReplyDeleteAnkal vipi mwezi mtukufu haujafika huko marekani? Mana tunaona mchana kabisa na bado munakandamiza mababekyuu yenu.
ReplyDeleteAnkal wewe Kobe? Mchana kweupe unachana kama hauna akili nzuri? LOL. nyama kweli tamu
ReplyDelete