Bwawa la Maini Oyeeeeeeeee.......
 Washambuliaji wa Bwawa la Maini Luis Alberto Suárez (kushoto) na Dirk Kuyt wakipongezana mara baada ya kumalizika kwa mchezo dhidi ya washika bunduki wa London (Arsenal) ambao wamelala kwa 2-0 katika mchezo uliomalizika hivi punde kwenye uwanja wa Emirate.Bwawa Oyeeee......
Martin Kelly wa Bwawa La Maini (Liverpool) akichuana vikali na beki wa Arsenal,Aaron Ramsey ambaye ametusaidia kupachika bao la kwanza.
Tulia mjombaaaaa....,utakuja vunjika bureeeee.....
uwanja umenuna kwa upande wa Asenali...poleni mwee

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Ankal, Andy Carroll is a flop.

    ReplyDelete
  2. ankali hakyamungu mimi shabiki no1 wa arsenal lakini kwa hiki kikosi cc ni kushuka daraja tu huu mwaka we timu kubwa zina wachezaji wazuri na bado zinasajiri ye kabaki na siasa zake za kale na tukitoka kwenye hii UEFA ndogo wiki hii ndo akili itamkaa sawa AONDOKEEEEEEEE BWANA TUMEMCHOKA HUYU MZEE LOL.....!

    ReplyDelete
  3. Umekosea Heading,Headin inatakiwa hivi:baada ya miaka 11 Hatimaye Liverpool wawafunga Arsenal baada Arsenal kuchezesha kikosi B kilichokosa wachezaji 7 wa kawaida,plus red card na kujifunga.

    ReplyDelete
  4. Nadhani hayp ni maoni ya kwa nini arsenal imefungwa, kichwa habari ndo hicho hapo juu

    ReplyDelete
  5. WALETENII MAN UNITED.MIMI NIKO TAYARI KUWEKA DAU NA YOYOTE,NITAWEKA LAKI 2 NA MFUASI YOYOTE WA MAN U AWEKE JIWE TAREHE 15.OCT. LAZIMA TUTAWAFUNGA TU.MSHINDI ATACHUKUA JIWE PAMOJA NA LAKI 2

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...