Kinamama na watoto katika futari hiyo
 Kinababa wakifuturu

Kama ilivyo kawaida ya watanzania wa ugiriki kila mwezi wa Ramadhani kuandaa futari ya pamoja kwenye ofisi ya jumuiya,na mwaka huu tuliiendeleza ada hii.Tulikutana 27/08 Jumamosi na kila mmoja-bila kubagua- alileta futari aliyoiandaa nyumbani kwake.
Tunamuomba Allah atujaalie SWAUMUN MAQBUUL
  Tunamuomba M wenyezi Mungu atupe uhai na mwakani tuifanikishe zaidi AMEN. 
Kwa picha za ziada tembelea fb "serengeti ugiriki" na watanzania " ugiriki"pia blog ya "wabongo ughaibuni".

KAYU LIGOPORA
KATIBU WA JUMUIYA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Safi sana.Mdumishe huo mshikamano.Hivi hao wagiriki lugha yao inaitwaje?Manake hayo majina karagounis,panathinaikos ni noma.Nawatakia Eid njema wiki ijayo

    Ni mimi

    David V

    ReplyDelete
  2. Mimi nawapenda sana hawa wadau wa ugiriki wana umoja wa kweli mno kwa shida na raha wako pamoja MUngu awabariki sana.
    mdau canada

    ReplyDelete
  3. WWW.TANZANIANSINGREECE.ORG kwa picha zaidi

    ReplyDelete
  4. Na wahusudu hawa watu waishio ugiriki ni kweli kila mwaka mwezi wa ramadhani wanafanya hii futari ya pamoja Mungu awazidishie na moyo huo huo wa kuwa pamoja ni mfano ambao unatakiwa kuigwa na waTZ wote waishio mbali na kwao huo ndio umoja mnasahau mambo yote na kujumuika katika raha na shida hayo ndiyo maisha

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...