Shkamoo Ankal Michuzi,
Leo tarehe 15.8.2011 mimi ADRIAN HILLARY STEVENS ni siku ya kuzaliwa kwangu nikitimiza miaka 21, Napenda sana na kwa dhati kabisa kumshukuru mama yangu mpenzi na mdau mkubwa wa globu hii Ms C.Mahundi kwa mapenzi na malezi yake ya dhati kwangu, Dada zangu Petty Petit De Franco, Suzette and dear brother Stephen, Ramsheed Nassor na wandugu zangu wanao piga box ughaibuni..Kupitia St.Jude-Thadeus nasema..
”Athante”



Hongera mkuu miaka 21 si mchezo(Miaka 21 mimi nilikuwa form5-6, zamani tulikuwa tukisoma tukiwa "Vijeba").Aise hapo ni wapi hapo au 'umecheza' na picha?Pametulia kweli siyo siri.
ReplyDeleteDavid V
ahahahaha happy birthday kijana naona unakua sasa..ila miaka 21(doubt)..but all n all karibu Uzeeni...Tomb'Rider nd i knw U're filing lyk'Waoh...happy'birthday bro..
ReplyDeleteHappy bethidei, ila pendeza akilini kama unavyopendeza mwilini.
ReplyDeleteHapo Kempiski mdau ila ndo nasikia pamebadilishwa jina. Mliopo huko tunaomba mtupatie hilo jina jiiipyaaaa....!!! Mdau Korea Kusini.
ReplyDeleteHappy Bday kaka ukubwa unakunyemeleaa......Macintosh aka Mbagala Bway
ReplyDelete