Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Ndege ya Turkish Airlines. Mr.Mustafa Ozkahraman akiwashukuru wageni waalikwa mbalimbali waliofika kwenye hafla hiyo jioni ya leo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Ndege ya Turkish Airlines. Mr.Mustafa Ozkahraman wa pili kushoto) akiwa na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo katika picha ya pamoja.
 Wageni waalikwa mbalimbali waliofika kwenye Iftar jioni ya leo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Ndege ya Turkish Airlines. Mr.Mustafa Ozkahraman (wa pili kulia),akiwa na baadhi ya wageni waalikwa jioni ya leo.
Wageni waalikwa mbalimbali wakipata futari jioni ya leo iliondaliwa na kampuni ya shirika  la Ndege ya Turkish Airlines kwenye hoteli ya Kempinsk.
 Wageni waalikwa wakipata futari
Meneja msimamizi wa shughuli za shirika  la Ndege ya Turkish Airlines  katika uwanja wa ndege wa JKNIA Mr. Ebubekir sambamba na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Ndege ya Turkish Airlines. Mr.Mustafa Ozkahraman wakiwaongoza baadhi ya wageni waalikwa.
Wageni waalikwa mbalimbali wakipata futari jioni ya leo iliondaliwa na kampuni ya shirika  la Ndege ya Turkish Airlines kwenye hoteli ya Kempinsk.picha zaidi Bofya hapa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...