Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya  kinyago  Makamu Mwenyekiti wa - National Committee of  the  Chinese People's Political Consultative  Conference baada ya mazungumzo yao, Ofisini kwa Waziri Mkuu Mjini Dodoma leo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na   Makamu Mwenyekiti wa - National Committee of  the  Chinese People's Political Consultative  Conference baada ya mazungumzo yao, Ofisini kwa Waziri Mkuu Mjini Dodoma leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. sorry kaka michuzi na wadau wa humu! Naomba kujua kama kweli sisi watanzania atuna zawadi nyingine zaidi ya vinyago kuwapa wagani wetu?

    mdau SOMALIA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...