Hii ni audio iliyosikika siku ya Jumapili, Agosti 14, 2011 katika kipindi cha Njia Panda na Dk. Isaac Maro akizungumza na Langa kuhusu utumiaji wa madawa ya kulevya, mapambano aliyomo sasa katika kuyaacha na mipango ya baadaye ya kupambana na matumizi ya dawa za kulevya katika harakati za kuiokoa jamii ya Tanzania.

Da' Subi|wavuti.com



Msanii wa Bongo Fleva, Langa a.k.a Rais wa Mateja, ambaye amefanya interview na Radio Clouds Fm kupitia kipindi cha njia panda ambapo Dada Subi Nukta 77 alifanikiwa kuinasa interview hiyo.bofya hapo juu  kusikiliza alichokiongea Langa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. mwana wewe babu kubwa unaweza kuelezea vitu kama umeacha utafika mbali wewe ni noma kwenye hip hop safi sana kwa elimu ya bule mtaaan safi kwa kuacha mungu atakusaidia wewe unajua ujielezea kuna watu wanajua yote ila hawajui kuelezea wewe mkali kaza mwana

    ReplyDelete
  2. jitahidi mdogo wangu, achana na madudu hayo, yameharibu vijana wengi sana. hongera sana kwa hatua uliyoifikia, endelea kukaza buti, Mungu akusaidie na akuongoze.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...