Waziri wa Maendeleo ya Mifungo, Dk. Mathayo David Mathayo akifunga maonyesho ya kilimo nyanda za juu Kusini jijini Mbeya kwenye kiwanja John Mwakangale.
Waziri David Mathayo akipokea maandamano ya wakulima wa nyanda za juu kusini wakati wa kufunga maonyesho ya nanenane jijini Mbeya.wa kwanza kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Mbeya,Mh. John Mwakipesile.
Waziri akipata maelezo toka kwa mkuu wa wilaya Mbeya Evance Balama alipotembelea banda la halmashauri ya wilaya ya Mbeya.
kuona picha zaidi BOFYA HAPA
kuona picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...