maofisa wa mfuko wa pensheni kwa watumishi wa umma (PSPF) wakielezea shughuli zinazofanywa na mfuko wakiwa kwenye banda lao lililopo kwenye viwanja vya maonyesho ya nanenane yanayoendelea mkoani Kagera, aliyesimama ni Paul Kazi na mwingine ni Thadeo Rweyamba.
afisa mifugo wa halmashauri ya wilaya ya Misenyi Patric Ishengoma akionyesha ngozi ya mbuzi ambayo inatumiwa na wajasiliamali kutengeneza viatu vya aina mbalimbali walioko kwenye banda la halmashauri hiyo lililopo katika viwanja vya maonyesha ya nanenane yanayoendelea mkoani Kagera kwenye viwanja vya Kyakailabwa.
Mama kalumuna ambaye ni afisa kilimo wa halmashauri ya wilaya ya Misenyi akionyesha aina za ndizi zinazozalishwa wilayani humo.
baadhi ya watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Misenyi wakionyesha mazao mbalimbali ya chakula na biashara yanayozalishwa wilayani misenyi kwenye banda lao lililoko kwenye viwanja vya maonyesho ya nanenane vilivyoko Kyakailabwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hizo ndizi gani mbona hazieleweki?..tunahitaji kuona ile midizi halisi ya Kagera..zile NSHAKALA..NTOBE,NCHONCHO..haa haa haaa.Asante.

    David V

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...