Mdau  Ruger Kahwa,  ambaye ni mkuu wa ofisi ya United Nations Office for Coordination for Humanitarian Affairs(UNOCHA) nchini Papua New Guinea ( wa kwanza kulia) akiwa kwenye matembezi ya amani  na Rais  John  Momis wa Autonomous Bougainville Government ( wa pili kutoka kushoto) na Mwakilishi mkazi wa UNDP Papua New Guinea (wa pili kutoka kulia) katika kuadhimisha miaka kumi ya kusaini mkataba wa amani kati ya Kisiwa cha Bougainville na serikali ya Papua new Guinea mjini Buka – Boungainville. Hii inaonesha jinsi Watanzania wanavyoshiriki  katika shughuli mbalimbali za kimataifa ikiwemo shughuli za kuleta amani duniani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...