Mh,Balozi Maajar(watatu toka kushoto) akijumuika pamoja kwenye futari ya pamoja DMV
Mh Balozi Maajar akijumuika na Watanzania DMV katika futari ya pamoja leo Juamapili Aug 28,2011
Dr Hamza Mwamoyo akiwa pamoja na Seif Mo wakipata futari

 Kutoka shoto ni Swahili Villa,Kenyata,Said na Gadafi
Viongozi wa TAMCO wakiteta jambo toka kulia ni Kinyemi,Idd na Dakitari
 Mz Mwamoyo akiwa na Mayor
 
kutoka kulia ni Jabiri Jongo,Dullah na AJ Ubao na walijumuikapamoja kwenye futari
Wakina mama wakiwa kwenye futari
 Wadau wakipata futari ya pamoja
 Halima akipata picha ya pamoja na familia yake
Mautaadhi wakipa futari

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...