Kipa wa Man United akigaragara uwanja mzima wakati akiruhusu goli la kujifunga wenyewe dhidi ya West Bromwich katika mchezo uliomalizika kwa ushindi mwembamba wa bao 2-1. Kwa habari zaidi nenda BBC SPORT - BOFYA HAPA
Home
Unlabelled
NYANDA WA WATANI NI JAMVI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Hivi huwa kuna ushindi mwembamba na mnene? Point na zenyewe huwa zinatofautiana kulingana na idadi ya magoli? Liverpool iliyotoka sale ya 1-1 na MU iliyopata goli 2-1 nani ni mshindi?
ReplyDeleteEti ushindi mwembamba mbona nyinyi LIVERFOOL Mmetoka Draw.ushindi ushindi tu.
ReplyDeleteGoli la kujifunga? Huu ndo ushabiki wa kitanzania. Angalieni Mechi acheni kusikiliza mambo ya vijiweni. Tatizo ni kwamba kipa alifungwa goli la kizembe sio la kujifunga mwenyewe. Yeah, hii ni mechi ya pili De gea akionyesha unyanya wake kama Almunia.
ReplyDeleteDDG ana mchecheto ukimuangalia tu utahisi. Akienda Stoke City watamfunga kama MANU hawajanunua mechi!!
ReplyDelete