Baadhi ya wasanii wa Parapanda Theatre wakijiandaa kwa tamasha la kesho saa 11.30 jioni kwenye viwanja vya Jiji la  Gothernburg. Nje tu ya Ukumbi wa Sanaa wa Gothernburg ambapo  onyesho la Antigone linapikwa na litaonyeshwa.
 Wasanii  wa Parapanda na Mwongozaji wao Mgunga wakifuatilia maonyesho kabla ya wao kupanda jukwaani 
Mwongozaji Mgunga akijdali jambo la kiufundi na  Mkuu wa ala Frank Samatwa  mbele ya jukwaa wakati wa matayarisho

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Michuzi msiharibu majina ya nchi za watu!!ni Göteborg!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...