MAZISHI YATAFANYIKA SIKU YA J'MOSI TAREHE 20/08/2011 JIJINI DAR ES SALAAM

Nyumbani: ILALA SHARIFF SHAMBA
Kanisa : KANISA KATOLIKI LA MSIMBAZI
Makaburi: KINONDONI

Saa 3 asubuhi – Watu kuwasili Nyumbani kwa Mzee Samaka (Ilala Shariff Shamba)
Saa 4 asubuhi – Chakula
Saa 5 asubuhi – Sala fupi na kuaga Mwili wa Marehemu
Saa 6:30 mchana – Watu wote kuelekea Kanisani
Saa 7 mchana – Misa Kanisa la Msimbazi
Saa 8 mchana – Msafara wa kuelekea makaburini (Kinondoni)

Karibuni wote tumwage Dada yetu Mpendwa
TUTAKUKUMBUKA DAIMA
Ayubu 1:21 "Bwana alitoa, na Bwana ametwaa, na Jina la Bwana na libarikiwe”

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...