Mkurugenzi wa Masoko na Uendeshaji wa Mfuko wa GEPF Bw Anselim Peter akimkaribisha Naibu Spika Bw Job Ndugai katika banda la Mfuko wa GEPF wakati wa maonyesho ya Nane nane
Mbunge wa Kigoma Kaskazini Bw Zito Kabwe akikabidhiwa rasmi kadi ya uanachama wa mpango wa hiari wa kujiwekea akiba ya uzeeni (VSRS) na afisa masoko wa Mfuko Bw Edward Nzota
Mh John Chiligati mbunge wa Manyoni Mashariki akipata maelezo ya kina juu ya faida zitolewazo na Mfuko wa GEPF kwa wanachama wa Mpango wa hiari wa kujiwekea akiba ya uzeeni (VSRS)
Zito katoka kama vile anaenda kukabidhiwa mke!
ReplyDelete