Warembo wa Vodacom Miss Tanzania 2011 wakiwa katika hifadhi ya taifa ya Tarangire mkoani Manyara jana walipokwenda kujionea wanyama na vivutio mbalimbali vya utalii katika hifadhi hiyo ya tano kwa ukubwa nchini. Warembo hao wapo Kanda ya Kaskazini kutembelea vivutio vya utalii na kuhamasisha utalii wa ndani kwa watanzania. Katika hatua nyingine leo Miss Photogenic anataraji kutangwazwa na kujipatia tiketi ya kuingia katika nusu fainali ya shindano la Vodacom Miss Tanzania. Miss Photogenic atakuwa ni mrembo wa pili kuingia katiak hatua hiyo ya 15 bora baada ya Top Model.
Mshiriki wa Vodacom Miss Tanzania Zelulia Manoko,akizungumza baada ya kufika katika lango kuu la kuingilia hifadhi ya taifa ya Tarangire mkoani Manyara jana na kujionea wanyama wa aina mbalimbali. Warembo hao wapo Kanda ya Kaskazini kutembelea vivutio vya utalii na kuhamasisha utalii wa ndani kwa watanzania. Katika hatua nyingine leo Miss Photogenic anataraji kutangwazwa na kujipatia tiketi ya kuingia katika nusu fainali ya shindano la Vodacom Miss Tanzania. Miss Photogenic atakuwa ni mrembo wa pili kuingia katiak hatua hiyo ya 15 bora baada ya Top Model.
Warembo wa Vodacom Miss Tanzania 2011 wakiwa katika hifadhi ya taifa ya Tarangire mkoani Manyara jana walipokwenda kujionea wanyama na vivutio mbalimbali vya utalii katika hifadhi hiyo ya tano kwa ukubwa nchini. Warembo hao wapo Kanda ya Kaskazini kutembelea vivutio vya utalii na kuhamasisha utalii wa ndani kwa watanzania. Katika hatua nyingine leo Miss Photogenic anataraji kutangwazwa na kujipatia tiketi ya kuingia katika nusu fainali ya shindano la Vodacom Miss Tanzania. Miss Photogenic atakuwa ni mrembo wa pili kuingia katiak hatua hiyo ya 15 bora baada ya Top Model.Picha na Father Kidevu Blog.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. kuna tembo dume mmoja kawapenda hao wawili waliovaa kofia za biluu, yuko tayari kuoa wote wawili mipango ya ndoa inakuwaje? aonane na Rundenga? Ahaa!! Ahaa!! Ahaa!! just jockingii!!

    ReplyDelete
  2. Kaka picha ya kwanza toka juu,
    Mstari wa mbele,
    Wa tatu toka kulia,
    Mwenye kofia ya Buluu,
    Sandalz nyeupe,
    anaitwa nani huyo? Unaweza kuniunganishia Kaka? Nitakupoza.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...