Katibu Mkuu wa wizara ya Afya (Zanzibar),Dr. Jidawi akipokea msaada wa madawa na vifaa mbali mbali vyenye thamani ya dola elfu kumi ($ 10,000/-) kutoka kwa balozi wa Marekani Nchini Tanzania,Alfonso E.Lenhardt kwa ajili ya watu waliopata maafa ya kuzama kwa meli ya MV Spice Islanders katika mkondo wa Nungwi hivi karibuni.Picha na Yussuf Simai Maelezo Zanzibar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Are these guys related! They look alike eenhe!

    ReplyDelete
  2. They must be related. Wanafanana kweli. Huyu Balozi nafikiri wazee wake walitokea sehemu za Afrika Mashariki.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...