Wakati wazamiaji (hawaonekani pichani) wakiwa chini ya bahari wakisaidia kuvuta gari ikiwa katika kiwango cha mita tisa na kuisogeza karibu ya ufukwe. Hakuna mtu aliyepata madhara ya aina yoyote.
Wananchi wa mkoani wakisaidia kulivuta gari aina ya canter iliyozama  katika gati ya mkoani ilipokua ikitaka kushusha marobota ya mwani kisiwani Pemba. Picha na mdau Nafisa Madai

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...