Baadhi ya wakazi wa mji wa Igunga na vitongoji vyake, wakiandamana kuelekea katika Uwanja wa Sokoine mjini Igunga, ambako ulifanyika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa jimbo la Igunga.
  Kuelekea katika Uwanja wa Sokoine mjini Igunga, ambako ulifanyika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa jimbo la Igunga.

 Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, akiwahutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Igunga, wakati wa uzinduzi wa kampeni za mchaguzi mdogo wa jimbo la Igunga leo
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokarasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, akiwahutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Igunga na vitongoji vyake, wakati wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa jimbo hilo leo.
Picha zote na mdau Joseph Senga wa Tanzania Daima

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Ili nyomi lote lingekua linapiga kura! tungewaambia CCM n CUF rudini Dar kujiandaa na chaguzi nyingine. Lakini Mmmh wengi hapo sio wapiga kura.

    ReplyDelete
  2. BIG UP CHADEMA,km yasemavyo mabango ya wana igunga"CCM KICHWA CHINI MIGUU JUU","NYOKA NI NYOKA HAWEZI KUWA CHURA HATA AVUE MAGAMBA 100","MIAKA 50 MMESHINDWA MIAKA 4 MTAWEZA?!!!,"TUMECHOKA KUWATUMIKIA MAFISADI","MAISHA GHARAMA KM ALMASI","TUMECHOKA SASA","TUMECHOKA KUNYANYASWA NGUVU YA UMMA"may GOD bless you guys stick on cdm,hi..mdau wa blog ya jamii.

    ReplyDelete
  3. Askali imemtachi,kabaki ameduwaa,ukweli unauma miaka hamsini ya uhuru ndo hivi gizani maisha magumu km chuma cha pua.

    ReplyDelete
  4. Hongera CHADEMA naona mmefunika ile mbaya. Jimbo mmeshalichukua tayari!

    ReplyDelete
  5. yoweli yohana masakahSeptember 08, 2011

    mimi naipenda sana chama cha chadema, watu wanaifuata kama vile ni kwenda mbinungi. hata mimi huku malekani najalibu kukaanzisha ka chadema kangu huku

    ReplyDelete
  6. Safi sana Blog yetu..Wote wapewe coverage sawa kwenye blog..Vyama vyote vyenye wagombea vipatiwe coverage sawa.Wana Igunga naomba m'wasilikize vizuri hao wagombea halafu m'wahukumu kwa kujitokeza kupiga kura kwa wingi

    David V

    ReplyDelete
  7. All the best CHADEMA, you will make it.

    ReplyDelete
  8. freedom is coming tomorrow !
    mdau paris

    ReplyDelete
  9. Nimelipenda jukwaa lipo simple lakini wamefanikiwa ku-deliver message kwa wanaigunga (wametumia local available material, mdau Igwamanoni wa Isungang'wanda

    ReplyDelete
  10. picha na habari havijakamilika. mbowe na slaa tunawafahamu lakini wapi sura au jina la mgombea ubunge wa igunga kupitia chadema?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...