Home
Unlabelled
CHONDE CHONDE....ULEVI NOOOOMA!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
SASA HAPA WABAKAJI WAKIMBAKA ITAKUWAJE JAMANI.NA KAZI HAPO SIJUI ITAFANYIKA VIPI NA WAKIFUKUZWA KAZI WANALALAMIKA.
ReplyDeleteYOTE HAYO NI MAISHA; HUYO JAMAA MIMI SIMJUI, lakini ningependa kusema tu kwamba sidhani kwamba hiyo ndio tabia yake ya kila siku. Pombe ina sifa zake, mojawapo ni kwamba haina mbabe wala mtemi; pombe inamfanyia mtu yoyote kwa kiwango chochote; inategemea tu na pombe yenyewe on that particular day. Pombe kama vitu chengine chochote; haipaswi kutumiwa kupita kiasi; na inashauriwa kuiepuka kwa wasio weza kuistahamilia
ReplyDeletemmbu imetafuna mimi....kama shamba
ReplyDeleteWewe mdau uliyeleta lile tangazo la Masai waliolewa, nilivyoona hii tu nikakumbuka na kucheka sana. Kumbe ile ni kweli eeeeeeh.
ReplyDeleteHapo kama ni kibarua cha private itakuwa kimekwenda na maji.