
dhati:
Kwanza, kutokana na michango iliyopekea kufanyika dua hiyo kwa utaratibu mzuri.
Pili, tunawashukuru wanafunzi wa Tanzania wanaosoma vyuo mbali mbali nchini Malaysia, kwa kuhudhuria kwao kwa wingi. Ni wazi kufika kwao ni ishara ya mashirikiano mazuri yaliyoibua hisia za udugu, upendo na umoja kama ni watu wa taifa moja, zaidi mahudhurio yao yamethibitisha kujali ukubwa wa msiba uliogusa nafisi za wengi kwa kuwaombea dua waliofariki.
Allah (S. W) awape subira waathirika na msiba huu na azikubali dua zetu,
Aaamin.
Ahsante
Rashid A. Mukki
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...