KISOMO CHA WAHANGA WA MV S. ISLANDER (12)
Juu na Chini ni Watanzania waishio,Washington,DC,Maryland na Virginia wakifanya kisomo na harambee ya kuwasaindia wahanga wa M.V.Spice Islander waliopata maafa ya kuzama kwa meli hiyo Ijumaa usiku wa kuamkia Jumamosi,tarehe 10 Sept,2011
KISOMO CHA WAHANGA WA MV S. ISLANDER (16)
Dola elfu 4 zilipatikana kwenye harambee hiyo iliyofanyikia Hillandale Park iliyopo,Silver Spring,Maryland,Nchini Marekani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...