Waziri wa ushirika na chakula ,Prof Jumanne Maghembe akiongozwa na mwenyeji wake makamu mkuu wa chuo kikuu kishiriki cha ushirika na biashara,Moshi,(MUCcoBS)Prof Faustine Bee kuelekea katika ukumbi wa
J.K Nyerere ambako kunafanyika kongamano la kimataifa la Ushirika .

Waziri Maghembe akibadilishana mawazo na aliyekuwa makamu mkuu wa chuo kikikuu cha ushirika na biashara cha Moshi,Prof Suleiman Chambo (wa kwanza kulia),anayemfuatia ni mkuu wa wilaya ya Hai,Dk Norman Sigalla na kulia kwa waziri ni makamu mkuu wa chuo hicho Prof Faustine Bee.
Washiriki walipata pia fulsa ya kupiga picha ya pamoja.


Washiriki wakifuatilia kwa karibu mada zilizokuwa zikitolewa katika kongamnao hilo

Kongamano likiendelea. Picha zote na Dickson Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Prof. Faustine Bee ni Mkuu wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Ushirika na Biashara - Moshi (MUCCoBS)....na wala sio makamu kama inavyosomeka katika caption( halikadhalika Prof. Suleiman Chambo). Asante

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...