Mwenyekiti wa kamati ya usalama barabarani ya mkoa wa Kagera Winston Kabantega akiwaonyesha madereva wa pikipiki na magari alama zinazoongoza madereva ambao wanahudhulia mafunzo ya udereva yanayotolewa chuo cha udereva cha lake zone kwa kushirikiana na jeshi la polisi yanayoendelea kwenye bwalo la kituo kikuu cha polisi Bukoba.
baadhi ya madereva wa pikipiki wanaodhulia mafunzo ya udereva yanayotolewa na jeshi la polisi kwa kushirikiana na chuo cha lake zone wakimsikiliza kwa makini Winston Kabantega alipokuwa akiwapa somo la alama za barabara, alikuwa akiwasisitiza waheshimu alama hizo ili waepukane na ajali zisizo za lazima.picha na Audax Mutiganzi,Bukoba




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...