Issued by: 

Boniface WamburaMedia Officer
Tanzania Football Federation (TFF)
Member, CECAFA Media Committee

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Duu! Hii ni noma. Yanga africa jamani. Kutoka kuwa bingwa wa Ligi kuu Tanzania bara na Afrika mashariki na kati lakini sasa inashika mkia!!! Jamani!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  2. Umepindua msimamo au vipi? Mbona "mabingwa" wanaonekana wanaburuta mkia?

    ReplyDelete
  3. Jamani hamuoni kama Yanga imecheza mechi mbili tu? Sasa kama ikicheza mechi tano kama huyo anaeongoza na kushinda zote si itakuwa ya kwanza au vipi?

    ReplyDelete
  4. Ndugu zanguni Pamba ya Mwanza iko wapi? mbona haimo?

    ReplyDelete
  5. Jamani Yanga daima mbele.. Mbona mnarudi nyuma na kushika mkia? Popadic Clinton huko wapi? vijana wako wanaadhirika

    ReplyDelete
  6. Ruvu stars na Ruvu shooting halafu JKT Ruvu hebu tufafanulieni jamani

    ReplyDelete
  7. Tatizo lako Wambura ni kutaka Yanga ionekane ilipo. sasa uwe unatoa hivi mpaka ligi inapokwisha. sio kwa kuwa Yanga wako hapo ndio unatoa misimamo hiyo. baadae unakuja wanapokaa katika nafasi yao unaanza kupotezea. hujaeleweka hizo timu za Ruvu. maana katika ligi tuna JKT RUVU na RUVU shooting. sasa hayo majina umeyapata wapi?! kwenye jina la Yanga unapoandika kiingereza unaitaje?! mbona kila siku TFF mnatuchanganyia majina?!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...