Mwanalibeneke mkongwe mwanamke Shamim Mwasha Zeze akikatisha mitaa ya Times Square kitongoji cha Manhattan jijini New York ambako yuko katika vekesheni na maswala ya kutanua mtandao wa http://8020fashions.blogspot.com/ ambao unatimiza miaka mitano mwezi huu. Shamim ameiambia Globu ya Jamii kwamba anaona fahari kubwa kuwa mwanamama mwendesha libeneke lenye mafanikio makubwa, na kwamba anaandaa sherehe za kukata na shoka hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Zeze angalia usigongwe na gari bure manake upo katikati ya barabara hizo taa za "walk" zitazimika muda si mrefu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...