Chama kikongwe cha watanzania waishio Malmö-Sweden Tunasikitika sana na tunatoa salamu zetu za rambirambi kwa ndugu na jamaa wote wa Tanzania kwa MSIBA huu ulio ikumba Tanzania. Msiba uliyo wagusa watanzania wote kwa ujumla, na hata mataifa mengine.
Mwenyezi mungu atupe nguvu na faraja katika kipindi hiki kigumu cha majonzi makubwa yalio ikumba Taifa letu

Tunasema poleni sana wafiwa wote,Tanzania yote.
Mwenyezi mungu awatie nguvu wafiwa wote.

Niaba ya chama
Maria G. Malongo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...