Home
Unlabelled
Reggae mpya toka kwa Ras NAS Mwanukuzi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
watu hao wote wamekuja kumuangalia huyo jamaa au kulikuwa na kitu kingine kabala?(qweman)
ReplyDeletereggae huibwa kwa furaha , kama wapiga vyombo hapo wanavyo onekana , hila mwimbaji mbona aburudishi kabisa , au akupata majani/
ReplyDeleteNiwakati wa wasanii wangine kufuata nyayo za huyu jamaa.
ReplyDeleteArtists kutoka Tanzania wengi wanamajina makubwa nje,nyumbani tu ndo hamjui.
ReplyDeletemichuzi kumradhi kichwa huwe unaangalia vichwa vya habari,wee hauwezi kuletewa uji na ukaambiwa Ugali na wwe ukakubali tu.Huyu jamaa anatutukana wapenzi wa Reggae,
ReplyDeletewabongo dakeni hiyo good life http
://www.youtube.com/watch?v=Nb6u44etxlM&feature=related
labda itawapoza kidogo maana huko nyumbani watu hawajui kabisa Reggae kuanzi maproducers mpaka waimbaji wenyewe.
he! allanqwetaman watu hawa wote wamekuja kumuangilia mtanzania Ras Nas,
ReplyDeletesasa wewe upendi mafanikio ya mtanzania mwenzio,na wewe si unablog yako?
weka watu unaowapenda,usipate tabu ya kututafuta
wadau
ffu