Nguzo ya Umeme ikiwa imefanyiwa utaalamu wa kufungwa kwenye nguzo nyingine ili isianguke kutokana kuoza kwa chini kwa nguzo hiyo ambayo ni ya muda mrefu na mpaka kupelekea kukatika.nguzo hii ipo katika mtaa mdogo utokao Mwananyamala kwa Kopa kueleke Victoria jijini Dar.
Nguzo ya Umeme ikiwa imeegemea kwenye nyaya za Umeme za nguzo nyingine kutokana na kukatika kwa chini.Nguzo hii ipo maeneo ya Tandale,njia itokayo Kijitonyaka kuelekea Tandale Darajani.Wadau wa Tanesko jitahidini kuhakikisha nguzo hizi zinakuwa sana maana hayo yote ni maeneo yenye makazi ya watu wengi wakiwemo watoto wadogo. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Mdau usihofu maana umeme wenyewe hamna!

    ReplyDelete
  2. Haha kweli mdau aondoe hofu, stima hamna

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...