Balozi wa Brazil nchini Francisco Luz akihutubia wageni waalikwa katika Usiku wa Maadhimisho ya miaka 189 ya Uhuru wa nchi hiyo, Maadhimisho hayo yamefanyika Nyumbani kwa Balozi usiku wa kuamkia leo ambapo wageni mbalimbali walihudhuria wakiwemo Mabalozi na Viongozi wa Serikali ya Tanzania.
Home
Unlabelled
USIKU WA MAADHIMISHO YA MIAKA 189 YA UHURU WA BRAZIL
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


miaka 189 huru halafu bado maskini hivyooooooooooooo kulikoni???????????
ReplyDelete