Balozi wa Brazil nchini Francisco Luz akihutubia wageni waalikwa katika Usiku wa Maadhimisho ya miaka 189 ya Uhuru wa nchi hiyo,  Maadhimisho hayo yamefanyika Nyumbani kwa Balozi usiku wa kuamkia leo ambapo wageni mbalimbali walihudhuria wakiwemo Mabalozi na Viongozi wa Serikali ya Tanzania.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. miaka 189 huru halafu bado maskini hivyooooooooooooo kulikoni???????????

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...