Wasanii wa miondoko ya Salsa wa kundi la Mutati la nchini Kenya wakiwasili katika Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere, wasanii hao wataburudisha katika hafla ya Shear Ball itakayofanyika Jumamosi katika Hoteli ya Movenpick.Hafla hiyo inalenga kuchangisha milioni 50 za kusaidia ukarabati wa mfumo wa maji taka katika hospitali ya Mwananyamala pamoja na kusaidia fedha za matibabu kwa wanawake wenye kuugua ugonjwa wa fistula.
Mkuu wa Masoko na Kitengo cha Uhusiano wa Kampuni ya Shear Illusion,Dorah Raymond akimkabidhi maua mmoja kati ya wanamuziki wa kundi la Mutati mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Mwalimu Nyerere.
Wasanii wa kundi la Mutati wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Masoko na Kitengo cha Uhusiano wa Kampuni ya Shear Illusion,Dorah Raymond (wa pili kushoto).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...