Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Mazingira,Dk. Terezya Huvisa akizungumza na Mwakilishi wa{UNIDO} Nchini Tanzania,Bw. Emmanuel Kalenzi Kuhusu jinsi ya Kuandaa Miradi ya Nishati Mbadala ili Kupambana na Mabadiliko ya Tabianchi huko Ofisini Kwake Mtaa wa Luthuli Mjini Dar es Salaam.{Picha na Ali Meja}

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...