Maj.Gen. Timothy Shelpidi, Balozi wa Nigeria akisaini kitabu cha maombolezo
Ofisa wa Ubalozi wa Uganda akisaini kitabu cha maombolezo
 Bw. O Sung Ho, Minister-Counsellor wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Korea akisaini kitabu cha maombolezo
 Bw. V.Tkachenko, Naibu Mkurugenzi, Idara ya Afrika, Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi akisaini kitabu cha maombolezo
 Dr. Seth Koranteng, Balozi wa Ghana akisaini kitabu cha maombolezo
George Eliah Mwakyembe mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Urafiki Lumumba akisaini kitabu cha maombolezo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. waTZ mnachekesa kweli! kutoa rambirambi na kuombea dua maafa ni hodari sana, lakini kuzuia maafa hajajua.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...