Mheshimiwa Michuzi, naomba unwekee bango hili kwenye Blog yako Tukufu. Hali ni Mbaya!! Inashangaza sana hakuna Oryx gesi nchini wiki moja sasa wakati mamlaka husika zimekaa kimya bila kulizungumzia tatizo hili. Wakati huo makampuni makubwa kama Bumaga na Big Boom ambayo ndo mawakala yamehodhi kiwango kikubwa cha gas na kuuza matika maduka yao. Je? Ni ufisadi wa aina wa kuwaondoa wajasiriamali /wafanya biashara wadogo katika biashara hii na kuwanufaisha matajiri wakubwa. Inawezekana, mfumo umekubali kwa makusudi mawakala wakubwa kuhodhi kiasi kikubwa cha gesi maghalani? Kwa nini ukiritimba umeruhusiwa kwa kampuni mbili kuingiza nishati hii muhimunchi nzima?. Ingekuwa kwa nchi za wenzetu ingekuwaje? Waziri husika kuwajibika?? As the response of people to the use of gas/ LPG is increasing rapidly, and thus saving the natural forests from natural tree cutting for charcoal, it is alarming to see unreliable/ intermittent supply of gas in the market. It is almost a week now since the market run short of gas yet neither EWURA nor Oryx Co. Ltd has come forward to explain the reason behind the shortage. People are forced to travel long distance in pursuing the product and sometimes buy it at inflated prices. |
We request the responsible authorities to take immediate action to stop this dubious business. Candid to my Country Mdau |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...