NEEMA HERBALIST  AND  NUTRITIONAL  FOODS  CLINIC.
 
Tunatibu  harufu  mbaya  ya  kinywa, kikwapa, pamoja  na  vipele  vya  ndevu. Dawa  yzetu  ni  za  kienyeji na   matokeo  yake  ni  ya  uhakika..Kwa  wewe  unayesumbuliwa  na  vipele  vya  ndevu  ukitumia  dawa  yetu  hotopatwa  tena  na  vipele  hivyo  vya  ndevu  mara  baada  ya  kutumia  dawa  yetu. Pia  tunazo  dawa  nyinginezo  za  kienyeji. Dawa  zetu hazina  side  effect.
 
Tupo  eneo  la  Changanyikeni  karibu  na  Chuo  cha  Takwimu.
 
Kwa  maelezo  zaidi  piga  simu  namba :  0767010756  au   0787010756
 
Au  tembelea  blogu  yetu ; http;//www.neemaherbalist.blogspot.com..
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Utafiti wa majaribio ulifanyika wapi, data ziko wapi?

    ReplyDelete
  2. sicle cell kweli ni ugonjwa wa kurithi kama pumu au magonjwa mengine ya kurithi na hauambukizi. Mtu anayesumbuliwa na sicle cell anapata maumivu tu kwenye mifupa yake apatapo malaria au wakati mwingine inatokea tu. Muhimbili ndio kwenye madaktari wazuri wa wagonjwa hao wa sicle cell ila ubaya wagonjwa hawa hawajatengewa wodi yao wenyewe hivyo wakilazwa na wagonjwa wenye matatizo mengine ya kuambukiza inakuwa si vizuri jamani. Tafadhali viongozi wa hospitali ya muhimbili angalieni tatizo hili.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...