Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji), Dk. Mary Nagu (katikati mbele) akiongozana na maofisa wa kiwanda cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) cha mkoani Mbeya,maofisa wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) na waandishi wa habari, kutembelea maeneo mbalimbali ya kiwanda hicho, jijini humo.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji), Dk. Mary Nagu (katikati) akizungumza na maofisa wa kiwanda cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) cha mkoani Mbeya,alipotembelea kiwanda hicho hivi karibuni.
Meneja wa kiwanda cha bia cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) mkoani Mbeya, Calvin Martin (kushoto) akifafanua jambo kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji), Dk. Mary Nagu  alipotembelea kiwanda hicho hivi karibuni.Katikati ni Ofisa Tawala Wilaya ya Mbeya, Geofrey Anania.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...