Home
Unlabelled
JINSI YA KUKWEPA KULIPA NAULI DAR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mh!kwa njia ya Mwananyamala kweli yawezekana kukwepa kulipa nauli,lakini angalizo kwa route nyingine ni abiria walioketi viti vya nyuma hadi mstari wa tatu chunga mali yako kwa kufunga kioo la sivyo hata ukiangalia vizuri hao vijana wako kikazi zaidi kuwaliza watu.wakishakwapua wanaruka haoooo!hata dreva akijitahidi kusimamamisha gari muwakute wapi?wakionekana hivyo jihadharini tu ndio ushauri wa ziada ya kuwajua kama wakwepaji wa kulipa nauli
ReplyDeletehuu nao ni ubunifu but it is very dangerous....let them stop it....
ReplyDeleteMaisha magumu hakuna "benefit" bongo!!
ReplyDeleteMCHANGIA MAONI WA TATU LAZIMA UTAKUWA WA KUTOKA KWA WALA UROJO MAANA NYINYI KWA BENEFIT,ILA CAMERON ATAWANYOOSHA.
ReplyDelete