Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mgeni wake Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda wakiingia katika ukumbi wa Nkurumah kuhudhuria maadhimisho ya miaka 50 tangua kuanzishwa kwa chuo kikuu cha Dar es Salaam.Kushoto ni Mkuu wa Chuo hicho Balozi Fulgence Kazaura na kulia ni Makamu mkuu wa chuo hicho profesa Rwekaza Mukandala
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia katika sherehe za kilele cha kuadhimisha miaka hamsini 50 ya kuanzishwa kwa chuo kikuu cha Dar es Salaam zilizofanyika katika ukumbi wa Nkurumah jijini Dar es Salaam. Picha na mdau  Freddy Maro wa Ikulu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Mambo ya siasa bwana, makamu wa mkuu wa chuo anatembea kwenye "red carpet" lakini mkuu wa chuo na rais Museveni hola!!!

    ReplyDelete
  2. Bravo UDSM!!!

    ReplyDelete
  3. Hongera Kikwete. Hii imetokea katika uongozi wako. Wengine walie tu. Roho stoki (OOOOOOOOO). Alopewa amepewa katu hapokonyeki. Wa mbili wa mbili tu wa mbili havai moja. Kutesa kwa zamu. TESA TU MWANANGU. WATU WATAKUFA NA VIJIBA VYA ROHO. KAZI KUMWAGIA WATU TINDIKALI. HAFI MTU HAPA.

    ReplyDelete
  4. Mwalimu Nyerere alishatutahadharisha makabila mawili (well you know them) msiwape kuongoza hii. Hawa hata mkigaiwe viwanja jirani atakuibia tu sehemu. Mimi yalikwishanitokea sio kwamba hii nazua, seuze umpe ikulu.

    ReplyDelete
  5. Wewe mtoa maoni wa nne hapo juu, mimi nimeishi miaka mingi na sijawahi kusikia hata siku moja Mwalimu Nyerere akitahadharisha Watanzania dhidi ya Watanzania wenzao. Tafadhali toa kumbukumbu ya hiyo hotuba, tamko au maandishi ya Mwalimu Nyerere kukana makabila hayo mawili ya kitanzania ambayo haukuyataja. Kama ni wewe tu uliyebuni hii nadharia tafadhali sana nakusihi uache mara moja uenezi wako wa chuki, fitina na ubaguzi dhidi ya wananchi wa kitanzania.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...