Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Enj.Christopher  Sayi (katikati mwenye miwani) akiongea na Waandishi wa Habari kuhusu mafanikio ya Sekta ya Maji kwa miaka 50. Kulia kwake ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji Enj. Bashiri Mlindoko, kulia kabisa ni Mkurugenzi wa Rasilimali Watu Mama Tabu Aron na Kushoto kabisa ni Mkuu  wa Mawasiliano wa Wizara Bwana Nurdin Ndimbe. Wizara ya Maji inaadhimisha maika 50 ya Sekta hiyo kwa makongamano na maonyesho yatakayofanyika katika viwanja vya Chuo cha Maji kuanzia tarehe 25-28 mwezi huu.

Waandishi wa Habari wakimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu  wa Wizara ya Maji Enj. Christopher Sayi.                     ( Picha zote na Paineto Makweba  Wizara ya Maji).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...