Jengo la ghorofa la matofali mabichi katika kijiji cha Msafiri kilichopo Bungu wilayani Rufiji. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. hii innovation ni nzuri kwa kufundishia technology transfer. Ila hii geto isitumiwe kwa watu kuishi

    ReplyDelete
  2. wazungu zamani walikuwa wanajaribu kilakitu japo kinaweza kuwa hatari mpaka leo hii wamefanikiwa, huu ndio mwendo kama jamaa angukuwa na muda angechoma matofari kuongeza uimara, na kutumia nguzo nene zaidi, kijijini unaweza kujenga nyumba nzuri tu ya matofali ya udongo, angalia ulaya mashariki, vijiji vyao havina tofauti na bongo ila wanajenga nyumba vizuri na nyenzo zinazopatikana kijijini

    ReplyDelete
  3. unajua warufiji walianza kujenga maghorofa kabla ya wazungu! sema tu hatupewi nafasi ya kujiendeleza na ujuzi wetu huu,
    wandengereko
    Ughaibuni

    ReplyDelete
  4. Yapo mengi sana huko Jamani sio ilo tu mengine kwa staili nyengine tunayaita Madungu Ni Nyumba za Juu Kwa Juu.
    Mnyagatwa wa Salali
    Uarabuni nawakilisha

    ReplyDelete
  5. Hata Malaysia madungu ndio asili yao ila,tofauti yake ni ubora na nyenzo tu.

    Mwendo mdundo kasi ndio hiyo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...