Mdau Osango Otieno akimlisha kipande cha keki mkewe,Elizabeth katika sherehe ya yao inayofanyika katika ukumbi wa Diamond V.I.P Hall,jijini Dar es Salaam
 Msema Chochote (MC) wa shughuli hiyo,MC Luvanda akiweka ratiba sawa huku Maharusi na Wapambe wao wakimsikiliza kwa makini.
wakati wa kufungua shampein.
 Cheazzzzz....... kwa amani na upendo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Hongera Osango! mungu awabariki!

    From Beah!

    ReplyDelete
  2. karibuni sana katika Bunge la wanandoa. Naamini kiapo mulichokula na kumeza moyoni mutakitii na kukienzi kama mulivyoahidi mbele ya Mungu muumba na mashahidi wenu.

    Hongereni sana nawaombea amani na upendo katika ndoa yenu na mupate vizazi vyema na baraka "AMEN"

    ReplyDelete
  3. mapambo mazuri nani kawapambia nina harusi karibuni nipatieni address

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...