Waziri wa Fedha Mh. Mustafa Mkullo akizindua mpango mpya wa PPF wa Huduma Bora kwa wanachama wa mfuko huo katika ukumbi wa AICC jijini Arusha. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa PPF Dkt Kapalata na shoto ni Mkurugenzi Mkuu wa PPF Bw. William Erio.
Home
Unlabelled
Mkullo azindua mpango wa Huduma Bora kwa Wanachama wa PPF
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...