Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage, akikabidhi pikipiki kwa mshindi wa bahati nasibu ya Simba SMS Fun Club inayoendeshwa na kampuni ya Push Mobile, Bertman Hoza katika hafla iliyofanyika mchana huu katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande).
Mshindi wa sh. 50 000 akipokea zawadi yake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hivi elfu hamsini ni nauli ya daladala au? maana yake huyo mshindi anaonekana hata hayuko INTERESTED kabisa...mnamzingua tu ,ntu wa watu!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...