Na John Kitime

Patrick anaimba wimbo ambao aliupiga kwanza akiwa na Afro70. Wimbo huu una ukweli mkubwa, unakufanya hata ufikirie kuhusu Patrick mwenyewe, kweli wema hawana maisha. Hapa Balisdya akiwa jukwaani na Shikamoo jazz. Mzee Zahoro anaonekana hapa akipiga mandolin chombo ambacho amepiga sana hasa akiwa Kiko Kids. Tunaambiwa wakati bendi zote Tabora zilianza kutumia magitaa ya umeme yeye akiwa na kiko Kids yake aliendelea kutumia Mandoline na ndio husikika katika nyimbo zake za zamani za Kiko.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Swadaktaaaaa
    Ahsante sana Kitime

    ReplyDelete
  2. Oh my God I had completely forgoten about Kiko Kids hahah LOL
    Asante sana kaka John kwa kutukumbusha mbali. Najiona nikiwa kama miaka saba ya umri nikisikiliza hizi nyimbo na dada yangu mkubwa aliyekuwa anapenda sana kiko kids

    ReplyDelete
  3. Asnate sana John, umenikumbusha sana mjomba wangu Patrick, nyimbo alizoimba huwa zinatukumbusha sana maisha yake ya upendo, alikuwa anacheka wakati wote. RIP Patrick Balisidya

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...